sw_tn/psa/071/021.md

454 B

Na uzidishe ... geuka tena na unifariji

"Nita unizidishie ... nataka ugeuka tena na kunifariji." Tafsiri zingine zinasoma, "Utanizidishia ... utageuka tena na kunifariji"

geuka tena na unifariji

Hii inaeleza tendo moja katika misemo miwili. "nifariji tena"

kwa uaminifu wako

"kwa sababu ninaweza kukutumaini"

nitaimba sifa kwako kwa kinubi, Mtakatifu wa Israeli

"kwako, ambaye ni Mtakatifu wa Israeli, nitaimba sifa huku nikicheza kinubi"