forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.1 KiB
Markdown
36 lines
1.1 KiB
Markdown
# wanaokutafuta
|
|
|
|
Kumtafuta Mungu inaashiria kati ya 1)kumwomba Mungumsaada au 2) kumwaza Mungu na kumtii. "kukuomba msaada" au"kukuwaza na kukutii"
|
|
|
|
# washereheke na kufurahi
|
|
|
|
Misemo hii miwili inamaana sawa na inasisitiza uzito wa furaha. "kufurahi sana" au "kuwa na furaha sana"
|
|
|
|
# wanaopenda waokovu wako
|
|
|
|
Nomino dhahania ya "wokovu" inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "wanaokupenda kwa sababu umewaokoa"
|
|
|
|
# daima waseme
|
|
|
|
Hapa ni kukuza kwa neno ili kusisitiza umihimu wa kumsifu Mungu mara kwa mara.
|
|
|
|
# Mungu asifiwe
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Acha kila mtu amsifu Mungu"
|
|
|
|
# maskini na mhitaji
|
|
|
|
Hapa maneno "maskini" na "mhitaji" yanamaana ya kufanana na yanasisitiza kuwahakuweza kujihudumia mwenyewe. "mhitaji sana"
|
|
|
|
# harakisha kwangu
|
|
|
|
Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba anamkimbilia mwandishi ili amsaidie. "njoo upesi unisaidie!"
|
|
|
|
# wewe ni msaada wangu na unaniokoa
|
|
|
|
Hapa msemo "unaniokoa" unaeleza jinsi Mungu alivyo msaada wake. "unanisaidia kwa kuniokoa"
|
|
|
|
# usichelewe
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "tafadhali njoo upesi"
|