sw_tn/psa/070/004.md

1.1 KiB

wanaokutafuta

Kumtafuta Mungu inaashiria kati ya 1)kumwomba Mungumsaada au 2) kumwaza Mungu na kumtii. "kukuomba msaada" au"kukuwaza na kukutii"

washereheke na kufurahi

Misemo hii miwili inamaana sawa na inasisitiza uzito wa furaha. "kufurahi sana" au "kuwa na furaha sana"

wanaopenda waokovu wako

Nomino dhahania ya "wokovu" inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "wanaokupenda kwa sababu umewaokoa"

daima waseme

Hapa ni kukuza kwa neno ili kusisitiza umihimu wa kumsifu Mungu mara kwa mara.

Mungu asifiwe

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Acha kila mtu amsifu Mungu"

maskini na mhitaji

Hapa maneno "maskini" na "mhitaji" yanamaana ya kufanana na yanasisitiza kuwahakuweza kujihudumia mwenyewe. "mhitaji sana"

harakisha kwangu

Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba anamkimbilia mwandishi ili amsaidie. "njoo upesi unisaidie!"

wewe ni msaada wangu na unaniokoa

Hapa msemo "unaniokoa" unaeleza jinsi Mungu alivyo msaada wake. "unanisaidia kwa kuniokoa"

usichelewe

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "tafadhali njoo upesi"