forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
510 B
Markdown
20 lines
510 B
Markdown
# Acha mbingu na nchi zimsifu ... bahari
|
|
|
|
Hapa mbingu na nchi na bahari zinazungumziwa kana kwamba ni watu wanaoweza kumsifu Mungu.
|
|
|
|
# bahari na kila kitu kinachoenda ndani yake
|
|
|
|
"acha bahari na kila kitu kinachoenda ndani yake kimsifu Mungu"
|
|
|
|
# Mungu ataiokoa Sayuni
|
|
|
|
Hapa "Sayuni" inamaanisha watu wa Sayuni. "Mungu atawaokoa watu wa Sayuni"
|
|
|
|
# kuwa nayo kama mali ya kumiliki
|
|
|
|
Hapa neno "nayo" linamaanisha nchi ya Yuda.
|
|
|
|
# wanaopenda jina lake
|
|
|
|
Hapa "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. "wanaompenda Mungu"
|