sw_tn/psa/069/034.md

510 B

Acha mbingu na nchi zimsifu ... bahari

Hapa mbingu na nchi na bahari zinazungumziwa kana kwamba ni watu wanaoweza kumsifu Mungu.

bahari na kila kitu kinachoenda ndani yake

"acha bahari na kila kitu kinachoenda ndani yake kimsifu Mungu"

Mungu ataiokoa Sayuni

Hapa "Sayuni" inamaanisha watu wa Sayuni. "Mungu atawaokoa watu wa Sayuni"

kuwa nayo kama mali ya kumiliki

Hapa neno "nayo" linamaanisha nchi ya Yuda.

wanaopenda jina lake

Hapa "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. "wanaompenda Mungu"