forked from WA-Catalog/sw_tn
510 B
510 B
Acha mbingu na nchi zimsifu ... bahari
Hapa mbingu na nchi na bahari zinazungumziwa kana kwamba ni watu wanaoweza kumsifu Mungu.
bahari na kila kitu kinachoenda ndani yake
"acha bahari na kila kitu kinachoenda ndani yake kimsifu Mungu"
Mungu ataiokoa Sayuni
Hapa "Sayuni" inamaanisha watu wa Sayuni. "Mungu atawaokoa watu wa Sayuni"
kuwa nayo kama mali ya kumiliki
Hapa neno "nayo" linamaanisha nchi ya Yuda.
wanaopenda jina lake
Hapa "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. "wanaompenda Mungu"