sw_tn/psa/069/032.md

562 B

Wapole

Hii inamaanisha watu wapole kwa ujumla. "Watu wapole"

nyie mnaomtafuta Mungu

Kumtafuta Mungu inawakilisha kati ya 1) kumwomba Mungu msaada au 2) kumuwaza Mungu na kumtii. "nyie mnaomwomba Mungu msaada" au "nyie mnaomuwaza Mungu"

acha mioyo yenu iishi

Hapa "mioyo" inamaanisha watu. Hapa "kuishi" ni lahaja inayomaanisha kutiwa moyo. "na utiwe moyo"

Yahwe huwasikia

Hapa "huwasikia" inamaanisha hujibu. "Yahwe hujibu"

wahitaji

Hii inamaanisha watu wahitaji kwa ujumla. "watu wahitaji"

wafungwa wake

"wale walioteseka kwa ajili yake"