sw_tn/psa/069/030.md

305 B

jina la Mungu

Hapa "jina" linamaanisha Mungu mwenyewe. "Mungu"

kwa shukrani

"kwa kumshukuru"

zaidi ya ng'ombe au fahali

"bora zaidi ya kutoa sadaka ya ng'ombe au fahali"

fahali mwenye pembe na kwato

Msemo huu unatofautisha fahali wazima na ndama wadogo. "fahali mzima mweye pembe na kwato"