sw_tn/psa/069/018.md

528 B

niokoe

Mwandishi anamwomba Mungu kumwokoa kana kwamba mwandishi alikuwa ni mtumwa ambaye uhuru wake ungewezz kununuliwa na Mungu.

nikomboe mateka

Mwandishi anazungumzia kulipia fidia maisha yake kana kwamba alikuwa mtumwa ambaye uhuru wake ungeweza kununuliwa kwa fedha.

lawama yangu, aibu yangu, na fedheha yangu

"jinsi watu walivyonilaumu, niaibisha, na kunifedhehesha"

adui zangu wote wako mbele zako

Hapa "mbele zako" inamaanisha kuwa Mungu anaona na kujua yote kuwahusu. "unajua adui zangu wote ni kinanani"