forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
528 B
Markdown
16 lines
528 B
Markdown
|
# niokoe
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anamwomba Mungu kumwokoa kana kwamba mwandishi alikuwa ni mtumwa ambaye uhuru wake ungewezz kununuliwa na Mungu.
|
||
|
|
||
|
# nikomboe mateka
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia kulipia fidia maisha yake kana kwamba alikuwa mtumwa ambaye uhuru wake ungeweza kununuliwa kwa fedha.
|
||
|
|
||
|
# lawama yangu, aibu yangu, na fedheha yangu
|
||
|
|
||
|
"jinsi watu walivyonilaumu, niaibisha, na kunifedhehesha"
|
||
|
|
||
|
# adui zangu wote wako mbele zako
|
||
|
|
||
|
Hapa "mbele zako" inamaanisha kuwa Mungu anaona na kujua yote kuwahusu. "unajua adui zangu wote ni kinanani"
|