sw_tn/psa/068/034.md

372 B

Mhesabieni Mungu nguvu

"Mhesabieni" inamaanisha kumpa mtu sifa. "Nguvu ni ya Mungu"

nguvu yake iko angani

"katika anga pia anaonesha kuwa ana uwezo"

Mungu, wewe unatisha katika sehemu yako takatifu

Hapa mwandishi anazungumza moja ka moja na Mungu.

nguvu na uwezo

Maneno haya mawili yana maana moja. Yanasisitiza kiasi ambacho Mungu anawapa nguvu watu wake.