sw_tn/psa/068/028.md

478 B

Mungu wenu, Israeli, ameagiza nguvu yenu

Tafsiri zingine zinaelewa maandiko ya Kihebrania tofauti. "Amrisha (au tumia) nguvu yako, Mungu"

Mungu wenu, Israeli, ameagiza

"Watu wa Israeli, Mungu wenu ameagiza"

kwetu

Neno "kwetu" linamaanisha watu ambao Daudi anazungumza nao na yeye mwenyewe.

Onesha uwezo wako kwetu kutoka katika hekalu lako Yerusalemu

Unapokuwepo katika hekalu lako Yerusalemu, tuoneshe uwezo wako"

Onesha uwezo wako

"Tuonesha kuwa una nguvu"