forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
478 B
Markdown
20 lines
478 B
Markdown
|
# Mungu wenu, Israeli, ameagiza nguvu yenu
|
||
|
|
||
|
Tafsiri zingine zinaelewa maandiko ya Kihebrania tofauti. "Amrisha (au tumia) nguvu yako, Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Mungu wenu, Israeli, ameagiza
|
||
|
|
||
|
"Watu wa Israeli, Mungu wenu ameagiza"
|
||
|
|
||
|
# kwetu
|
||
|
|
||
|
Neno "kwetu" linamaanisha watu ambao Daudi anazungumza nao na yeye mwenyewe.
|
||
|
|
||
|
# Onesha uwezo wako kwetu kutoka katika hekalu lako Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
Unapokuwepo katika hekalu lako Yerusalemu, tuoneshe uwezo wako"
|
||
|
|
||
|
# Onesha uwezo wako
|
||
|
|
||
|
"Tuonesha kuwa una nguvu"
|