sw_tn/psa/067/007.md

214 B

na mwisho wote wa dunia unamheshimu

Hii inamaanisha kwamba watu kila sehemu wanapaswa kumheshimu Mungu kwa sababu ya baraka zake. "ninatamani kwamba watu wote kila mahali duniani wawe na heshima ya ajabu kwake"