sw_tn/psa/065/004.md

538 B

unayemchagua ... nyuani mwako

Maneno "unaye" na "mwako" yanamaanisha Yahwe.

aishi nyuani mwako

Hii haimaanisha kuwa mtu huyo anaishi kweli kwenye hekalu lakini ni kwamba yuko huko mara kwa mara kumwabudu Yahwe. "aabudu mara kwa mara katika hekalu lako"

Tutaridhika na uzuri wa nyumba yako, hekalu lako takatifu

"Uzuri wa nyumba yako, hekalu lako takatifu, utaturidhisha"

Tutaridhika

Hapa anayezungumziwa ni Daudi na watu anaozungumza nao.

nyumba yako, hekalu lako takatifu

"nyumba yako, ambalo ni hekalu lako takatifu"