forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
538 B
Markdown
20 lines
538 B
Markdown
|
# unayemchagua ... nyuani mwako
|
||
|
|
||
|
Maneno "unaye" na "mwako" yanamaanisha Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# aishi nyuani mwako
|
||
|
|
||
|
Hii haimaanisha kuwa mtu huyo anaishi kweli kwenye hekalu lakini ni kwamba yuko huko mara kwa mara kumwabudu Yahwe. "aabudu mara kwa mara katika hekalu lako"
|
||
|
|
||
|
# Tutaridhika na uzuri wa nyumba yako, hekalu lako takatifu
|
||
|
|
||
|
"Uzuri wa nyumba yako, hekalu lako takatifu, utaturidhisha"
|
||
|
|
||
|
# Tutaridhika
|
||
|
|
||
|
Hapa anayezungumziwa ni Daudi na watu anaozungumza nao.
|
||
|
|
||
|
# nyumba yako, hekalu lako takatifu
|
||
|
|
||
|
"nyumba yako, ambalo ni hekalu lako takatifu"
|