sw_tn/psa/064/010.md

8 lines
269 B
Markdown

# watamkimbilia yeye
Kwend akwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. "enda kwake kwa ajili ya ulinzi"
# wanyofu wote wa moyo tajivunia kwake
Hapa "wanyofu moyoni" ni lahaja inayomaanisha wanyofu na wenye haki. "watu wote wanyofu watamsifu yeye"