sw_tn/psa/064/007.md

624 B

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi anaendelea kuwazungumzia "watenda maovu" wa 64:1.

Lakini Mungu atawapiga ... kwa mishale

Mwandishi anazungumzia adhabu ya Mungu kwa watenda maovu kana kwamba Mungu anapiga mishale kwao.

Watafanywa kujikwaa

Mwandishi anazungumzia Mungu kusababisha mipango ya kushindwa kana kwamba Mungu alikuwaakiwafanya kujikwaa katika njia zao. "Mungu atawafanya wajikwae" au "Mungu atasababisha mipango yao kushindwa'

kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko dhidi yao

Hapa "ndimi" inawakilisha maneno wanayosema. "kwa kuwa maneno wanayosema yako dhidi yao"

alichofanya

"kile ambacho Mungu amefanya"