forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
954 B
Markdown
20 lines
954 B
Markdown
# Kuna mto, mikondo ambayo huufanya mji wa Mungu kuwa na furaha
|
|
|
|
"Kuna mto ambao mikondo yake huufanya mji wa Mungu kuwa na furaha." Hii picha ya mto unaotiririka inaashiria amani na mafanikio kwa ajili ya mji wa Mungu.
|
|
|
|
# huufanya mji wa Mungu kuwa na furaha
|
|
|
|
Msemo "mji wa Mungu" unamaanisha yerusalemu, ambao mwandishi anauzungumzia kama mtu anayeweza kuwa na furaha. "huwafanya watu wanaoishi Yerusalemu kuwa na furaha"
|
|
|
|
# sehemu takatifu za hema takatifu za Aliye juu
|
|
|
|
Msemo huu unaelezea "mji wa Mungu." Wingi wa mahema unaweka mkazo katika wazo kwamba hapa ni mahali patakatifu pa Mungu kuishi. "sehemu takatifu anapoishi Aliye juu"
|
|
|
|
# katikati yake; hatasogezwa ... atamsaidia.
|
|
|
|
Panapozungumziwa na "mji wa Mungu."
|
|
|
|
# hatasogezwa
|
|
|
|
Hapa neno "kusogezwa " ni sawa na neno linalotafsiriwa "kutikiswa" katika 46:1. Mwandishi anazungumzia uharibifu wa Yerusalemu kwa majeshi kana kwamba tetemekolingeuangamiza. "hakuna kitu kitakachoweza kuuangamiza"
|