sw_tn/psa/044/009.md

634 B

umetutupa

Mwandishi anazungumzia kukataliwa kwa Israeli kana kwamba alikuwa akitupa nguo ambayo haitaki. "kutukataa"

ngawira

mali ambazo jeshi hukusanya baada ya kushinda vita

Umetufanya kama kondoo waliokusudiwa kuwa chakula

Mwandishi anafananisha Waisraeli na kondoo ambao watu huua na kula. Kama kondoo wasiojiweza mbele ya wale wanaowaua, kwa hiyo Waisraeli hawajiwezi mbele ya adui zao. "Umewaruhusu adui zetu kutuua kama wanavyoua kondoo na kumla"

waliokusudiwa kuwa chakula

"tumekusudiwa kuwa chakula ambacho watu wanakula"

kututawanya miongoni mwamataifa

"kutusababisha kuishi katika mataifa mengi tofauti"