sw_tn/psa/042/011.md

425 B

Kwa nini umeinama chini, nafsi yangu? Kwa nini umefadhaishwa ndani yangu?

Mwandishi jizungumzia undani wake kama "nafsi" yake. Anajiuliza maswali haya kujikemea. "Sitakiwi kuinama chini. Sitakiwa kuwa na wasiwasi"

umeinama chini

Mwandishi anazungumzia huzuni au kukata tamaa kana kwamba nafsi yake imeinama. "kukata tamaa"

Mtumaini Mungu

Mwandishi anaendelea kuzungumza na nafsi yake na kuiamuru kumtumaini Mungu.