sw_tn/psa/041/007.md

708 B

wanatamani niumie

Maana zinazowezekana ni 1) "wanatamani kwamba vitu vibaya sana vinikute" au 2) "wanapanga kunidhuru"

Ugonjwa uovu ... kwake

Adui zangu wanazungumzia "ugonjwa" kana kwamba ni mtu aliyemkamata. "Ni mgonjwa na ugonjwa hatari"

Ugonjwa uovu

Maana zinazowezekana ni 1) "ugonjwa wa mauti" au 2) "Kitu kiovu"

kwa sasa amelala chini, hatainuka tena

Hapa maneno "amelala chini" inamaanisha kulala kitndani kwa sabau ya ugonjwa. Kuwa "hatainuka" inamaanisha ataendelea kulala chini, ambayo pia tasifida ya kifo. "kwa kuwa sasa yuko kitandani, atakufa hapo"

ameinua kisigo chake dhidi yangu

Hii ni lahaja inayomaanisha rafiki yake amemsaliti. "amenisaliti" au "amegeuka dhidi yangu"