forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
708 B
Markdown
20 lines
708 B
Markdown
|
# wanatamani niumie
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "wanatamani kwamba vitu vibaya sana vinikute" au 2) "wanapanga kunidhuru"
|
||
|
|
||
|
# Ugonjwa uovu ... kwake
|
||
|
|
||
|
Adui zangu wanazungumzia "ugonjwa" kana kwamba ni mtu aliyemkamata. "Ni mgonjwa na ugonjwa hatari"
|
||
|
|
||
|
# Ugonjwa uovu
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "ugonjwa wa mauti" au 2) "Kitu kiovu"
|
||
|
|
||
|
# kwa sasa amelala chini, hatainuka tena
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "amelala chini" inamaanisha kulala kitndani kwa sabau ya ugonjwa. Kuwa "hatainuka" inamaanisha ataendelea kulala chini, ambayo pia tasifida ya kifo. "kwa kuwa sasa yuko kitandani, atakufa hapo"
|
||
|
|
||
|
# ameinua kisigo chake dhidi yangu
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja inayomaanisha rafiki yake amemsaliti. "amenisaliti" au "amegeuka dhidi yangu"
|