sw_tn/psa/040/014.md

28 lines
748 B
Markdown

# Acha ... wanaofuatilia maisha yangu kuyachukua
"Tafadhali wafanye wale wanaojaribu kuniua waaibike na kuvunjwa matumaini"
# wanaofuatilia maisha yangu kuyachukua
Hapa "wanaofuatilia maisha yangu" inamaanisha hamu ya kumuua mwandishi. "wanaojaribu kuniua"
# Acha ... wanaofurahi kuniumiza
"Tafadhali wasimamishe wale wanaofurahi kuniumiza na uwatolea heshima"
# wageuzwe
Kuzuiliwa inazungumziwa kama kugeuzwa kutoka katika mashambulizi yao. "kuzuiwa"
# Acha ... wanaosema, "Aha, aha!"
"Acha wale wanaosema kwangu, 'Aha, aha!' washtuke kwa sababu ya aibu yao"
# Acha washtuke kwa sababu ya aibu yao
"Natamani washtuke utakapowaaibisha"
# wale wanaosema kwangu, "Aha, aha!"
"Aha, aha!" ni kitu wanachosema watu wakati wakimdhihaki mtu.