forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
729 B
Markdown
28 lines
729 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
|
|
|
# Kwa mwanamuziki mkuu
|
|
|
|
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
|
|
|
|
# Yeduthuni
|
|
|
|
Mmoja wa wanamuziki wakuu wa Daudi alikuwa na jina hili. Hii inaweza kumaanisha ni yeye.
|
|
|
|
# Zaburi ya Daudi
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
|
|
|
|
# Nitachunga ninachozungumza
|
|
|
|
"Nitakuwa msikivu katika vitu nitakavyosema"
|
|
|
|
# ili nisitende dhambi kwa ulimi wangu
|
|
|
|
Hapa "ulimi" inamaanisha maneno ya mwandishi. "ili nisizungumze maneno mabaya dhidi ya Yahwe"
|
|
|
|
# nitajitia lijamu
|
|
|
|
Hii inamaanisha kufunga mdomo. Hapa Daudi anamaanisha kuwa hatazungumza akiwa na mtu mwovu.
|