forked from WA-Catalog/sw_tn
729 B
729 B
Taarifa ya Jumla:
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
Kwa mwanamuziki mkuu
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
Yeduthuni
Mmoja wa wanamuziki wakuu wa Daudi alikuwa na jina hili. Hii inaweza kumaanisha ni yeye.
Zaburi ya Daudi
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
Nitachunga ninachozungumza
"Nitakuwa msikivu katika vitu nitakavyosema"
ili nisitende dhambi kwa ulimi wangu
Hapa "ulimi" inamaanisha maneno ya mwandishi. "ili nisizungumze maneno mabaya dhidi ya Yahwe"
nitajitia lijamu
Hii inamaanisha kufunga mdomo. Hapa Daudi anamaanisha kuwa hatazungumza akiwa na mtu mwovu.