forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
298 B
Markdown
12 lines
298 B
Markdown
# waovu na mtu wa kutisha
|
|
|
|
Hii haimaanishi mtu bayana. Ni kauli ya ujumla.
|
|
|
|
# wanasambaa kama mti wa kijani katika udongo wake wa asili
|
|
|
|
Hapa mafanikio ya mtu mwovu yanazungumziwa kana kwamba ni mti wenye afya unaoota kwatikaudongo mzuri.
|
|
|
|
# hakupatikana
|
|
|
|
"Sikuweza kumpata" au "Yahwe alimchukua"
|