sw_tn/psa/037/035.md

298 B

waovu na mtu wa kutisha

Hii haimaanishi mtu bayana. Ni kauli ya ujumla.

wanasambaa kama mti wa kijani katika udongo wake wa asili

Hapa mafanikio ya mtu mwovu yanazungumziwa kana kwamba ni mti wenye afya unaoota kwatikaudongo mzuri.

hakupatikana

"Sikuweza kumpata" au "Yahwe alimchukua"