sw_tn/psa/037/034.md

251 B

atakuinua kumiliki nchi

Hapa "kuinuka" inamaanisha Mungu kuwapa heshima wale wanaomsubiri. "atakuheshimu kwa kukupa nchi"

waovu

"watu waovu"

wanakatwa

Uharibifu wa waovu unazungumziwa kana kwamba walikuwa tawi la mmea uliokatwa na kutupwa.