forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.1 KiB
Markdown
40 lines
1.1 KiB
Markdown
# Wale walio barikiwa na Mungu
|
|
|
|
"Wale ambao Mungu anawabariki"
|
|
|
|
# watarithi nchi
|
|
|
|
Umiliki wa nchi unazungumziwa kanakwamba umepokelewa kama urithi. "watapokea nchi kama mali yao" au "wataruhusiwa kuishi kwa usalama katika nchi"
|
|
|
|
# wale waliolaaniwa naye
|
|
|
|
"wale ambao Yahwe amewalaani"
|
|
|
|
# watakatwa
|
|
|
|
Uharibifu wa watu waovu unazungumziwa kana kwamba ni tawi la mmea uliokatwa na kutupwa.
|
|
|
|
# Ni kupitia Yahwe hatua za mtu zinaimarishwa ... inpendeza machoni pa Mungu
|
|
|
|
"Kama mtu anaishi katika njia ya kupendeza machono pa Yahwe, Yahwe ataimarisha njia zake"
|
|
|
|
# Ni kupitia Yahwe hatua za mtu zinaimarishwa
|
|
|
|
"Yahwe ndiye anayemwezesha mtu kufanikiwa"
|
|
|
|
# mtu ... mtu
|
|
|
|
Hii haimaanishi mtu bayana, lakini kwa watu kwa ujumla.
|
|
|
|
# hatua za mtu
|
|
|
|
Hatua zinawakilisha jinsi mtu anavyoishi. "jinsi mtu anavyoishi"
|
|
|
|
# Ingawa anajikwaa, hataanguka
|
|
|
|
Hapa "kujikwaa" na "kuanguka" inamaanisha jinsi mtu anavyojibu katika vipindi vigumu. "Ingawa ana vipindi vigumu, hatashindwa kabisa"
|
|
|
|
# anamshika kwa mkono wake
|
|
|
|
Hapa "mkono wake" inamaanisha nguvu ya Yahwe, na "kumshika" inamaanisha kumlinda. "kumlinda na nguvu yake"
|