forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
416 B
Markdown
16 lines
416 B
Markdown
# watakatwa
|
|
|
|
Uharibifu wa waovu unazungumziwa kana kwamba walikuwa ni matawi ya mmea uliokatwa na kutupwa.
|
|
|
|
# lakini wale wanaomsubir yahwe
|
|
|
|
"lakini wale wanaomtumaini Yahwe"
|
|
|
|
# watarithi nchi
|
|
|
|
Kumiliki nchi kunazungumziwa kana kwamba itapokelewa kama urithi. "watapokea nchi kama urithi wao" au "wataishi kwa usalama katika nchi"
|
|
|
|
# atapotea
|
|
|
|
Lahaja hii inamaanisha kifo cha mtu mwovu. "atakufa na hautamwona tena"
|