sw_tn/psa/037/008.md

416 B

watakatwa

Uharibifu wa waovu unazungumziwa kana kwamba walikuwa ni matawi ya mmea uliokatwa na kutupwa.

lakini wale wanaomsubir yahwe

"lakini wale wanaomtumaini Yahwe"

watarithi nchi

Kumiliki nchi kunazungumziwa kana kwamba itapokelewa kama urithi. "watapokea nchi kama urithi wao" au "wataishi kwa usalama katika nchi"

atapotea

Lahaja hii inamaanisha kifo cha mtu mwovu. "atakufa na hautamwona tena"