sw_tn/psa/035/021.md

1.0 KiB

Wanafungua midomo wazi yao dhidi yangu

Sababu ya kufungua midomo yao ni kumshtaki mwandishi. "Wananipigia kelele ili wanashtaki"

Aha, Aha

Huu ni mshangao unaotumika wakati kitu kinaonekana ghafla au kueleweka. Unaweka mkazo katika kauli inayofuata.

macho yetu yameona

Hapa "macho yetu" inamanisha macho ya adui. Inadokezwa kuwa wanasema kwamba wamemwona mwandishi anafanya kitu kibaya. "tumeona" au "tumeona makosa uliyofanya"

Umeiona

Hapa walichoona ni mashtaka ya uongo ya adui wa mwandishi. "Umeona jinsi walivyonishtaki kimakosa"

usiwe kimya

"usiache kujali walichonifanyia." Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "wahukumu kwa sababu ya kile walichofanya"

usiwe mbali na mimi

Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "uwe karibu sana na mimi"

Jiinue na uamke

Hii haimaanishi kuwa Mungu kweli yuko usingizi. Mwandishi anataka Mungu aingilie kati. Maneno yote yana maana moja na yanasisitiza uharaka wa ombi hili. "Nahisi kama umelala! Amka"

kwa utetezi wangu

"kunilinda"

madai yangu

Hii inamaanisha mwandishi. "mimi"