forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
648 B
Markdown
24 lines
648 B
Markdown
# Uovu utawaua waovu
|
|
|
|
Uovu unazungumziwa kana kwamba mtu anayeweza kuua watu. "Matendo maovu ya watu waovu yatawaua"
|
|
|
|
# waovu
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu waovu.
|
|
|
|
# Wale wanaowachukia wenye haki watahukumiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe atawahukumu wale wanaowachukia wenye haki"
|
|
|
|
# wenye haki
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu wenye haki.
|
|
|
|
# Hakuna atakaye hukumiwa kwa wanaomkimbilia
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa katika hali ya kutenda. Inaweza pia kutafsiriwa katika hali chanya. "Yahwe atawasamehe wote wanaomkimbilia"
|
|
|
|
# wanaomkimbilia
|
|
|
|
Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. 'kwenda kwake kwa ajilil ya ulinzi"
|