forked from WA-Catalog/sw_tn
648 B
648 B
Uovu utawaua waovu
Uovu unazungumziwa kana kwamba mtu anayeweza kuua watu. "Matendo maovu ya watu waovu yatawaua"
waovu
Hii inamaanisha watu waovu.
Wale wanaowachukia wenye haki watahukumiwa
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe atawahukumu wale wanaowachukia wenye haki"
wenye haki
Hii inamaanisha watu wenye haki.
Hakuna atakaye hukumiwa kwa wanaomkimbilia
Hii inaweza kutafsiriwa katika hali ya kutenda. Inaweza pia kutafsiriwa katika hali chanya. "Yahwe atawasamehe wote wanaomkimbilia"
wanaomkimbilia
Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. 'kwenda kwake kwa ajilil ya ulinzi"