sw_tn/psa/034/021.md

648 B

Uovu utawaua waovu

Uovu unazungumziwa kana kwamba mtu anayeweza kuua watu. "Matendo maovu ya watu waovu yatawaua"

waovu

Hii inamaanisha watu waovu.

Wale wanaowachukia wenye haki watahukumiwa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe atawahukumu wale wanaowachukia wenye haki"

wenye haki

Hii inamaanisha watu wenye haki.

Hakuna atakaye hukumiwa kwa wanaomkimbilia

Hii inaweza kutafsiriwa katika hali ya kutenda. Inaweza pia kutafsiriwa katika hali chanya. "Yahwe atawasamehe wote wanaomkimbilia"

wanaomkimbilia

Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi inazungumziwa kama kumkimbilia. 'kwenda kwake kwa ajilil ya ulinzi"