forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
662 B
Markdown
24 lines
662 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Kila mstari una mistari miwili yenye maana za kufanana.
|
|
|
|
# kama rundo
|
|
|
|
"kama nyuma ya bwawa." Mwandishi anaelezea uumbaji wa bahari kana kwamba Mungu anarundika maji yote pamoja.
|
|
|
|
# anaweka bahari katika ghala
|
|
|
|
Mwandishi anaelezea uumbaji wa bahari kana kwamba Mungu anayaweka katika ghala. "anaweka bahari katika sehemu yake, kama mtu anayeweka mbegu katika ghala"
|
|
|
|
# Acha dunia yote
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu wa duniani. "Acha kila mtu duniani"
|
|
|
|
# isimame kwa kumstaajabu yeye
|
|
|
|
Hapa "isimame kwa kumstaajabu" ni lahaja inayomaanisha "kustaajabu." "kumheshimu"
|
|
|
|
# ikasimama
|
|
|
|
Hapa "ikasimama" ni lahaja inayomaanisha "iliumbwa." "kuanza kuwepo"
|