forked from WA-Catalog/sw_tn
460 B
460 B
Sauti ya Yahwe husababisha
Hapa "sauti" inamaanisha Yahwe anazungumza. "Yahwe akizungumza, sauti husababisha"
mwaloni kujikunja
"miti mikubwa kutikisika"
na kuuvua msitu
Kutoa majani ya miti inazungumziwa kana kwamba ilikuwa kuvua nguo zao. "hutoa majani kwenye miti"
Yahwe ameketi kama mfalme
Hii inamaanisha kuwa Yahwe anatawala. "Yahwe anatawala" au "Yahwe ni mfalme"
juu ya mafuriko
Hapa "mafuriko" yanamaanisha maji yanayofunika dunia.