sw_tn/psa/029/009.md

460 B

Sauti ya Yahwe husababisha

Hapa "sauti" inamaanisha Yahwe anazungumza. "Yahwe akizungumza, sauti husababisha"

mwaloni kujikunja

"miti mikubwa kutikisika"

na kuuvua msitu

Kutoa majani ya miti inazungumziwa kana kwamba ilikuwa kuvua nguo zao. "hutoa majani kwenye miti"

Yahwe ameketi kama mfalme

Hii inamaanisha kuwa Yahwe anatawala. "Yahwe anatawala" au "Yahwe ni mfalme"

juu ya mafuriko

Hapa "mafuriko" yanamaanisha maji yanayofunika dunia.