forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
460 B
Markdown
20 lines
460 B
Markdown
|
# Sauti ya Yahwe husababisha
|
||
|
|
||
|
Hapa "sauti" inamaanisha Yahwe anazungumza. "Yahwe akizungumza, sauti husababisha"
|
||
|
|
||
|
# mwaloni kujikunja
|
||
|
|
||
|
"miti mikubwa kutikisika"
|
||
|
|
||
|
# na kuuvua msitu
|
||
|
|
||
|
Kutoa majani ya miti inazungumziwa kana kwamba ilikuwa kuvua nguo zao. "hutoa majani kwenye miti"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe ameketi kama mfalme
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa Yahwe anatawala. "Yahwe anatawala" au "Yahwe ni mfalme"
|
||
|
|
||
|
# juu ya mafuriko
|
||
|
|
||
|
Hapa "mafuriko" yanamaanisha maji yanayofunika dunia.
|