sw_tn/psa/025/012.md

615 B

Ni nani mtu anayemcha Yahwe?

Swali linatumbulisha "mtu anayemcha Yahwe" kama mada mpya. "Nitakuambia kuhusu mtu anayemcha Yahwe"

mtu anayemcha ... mwelekeza ... anapaswa ... Maisha yake ...uzao wake

Hii haimaanisha mtu bayana. "ni wale wanaomcha ... anawaelekeza ... wanapaswa ... Maisha yao ... uzao wao"

Bwana atamuelekeza katika njia anayopaswa kuchagua

Yahwe kuwafundisha watu jinsi wanavyopaswa kuwa inazungumziwa kana kwamba Yahwe alikuwa akiwafundisha watu ni njia gani wanapaswa kuifuata.

Maisha yake yataenda katika wema

"Mungu atamsababisha kufanikiwa" au "Mungu atawasababisha kufanikiwa"