forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
555 B
Markdown
16 lines
555 B
Markdown
# Unijulishe njia zako, Yahwe; nifundishe njia zako
|
|
|
|
Kauli hizi mbili zina maana moja. Mungu kumfundisha mtu jinsi anavyotakiwa kutenda inazungumziwa kana kwamba alikuwa akimwonyesha mtu njia sahihi ambayo mtu anapaswa kusafiria.
|
|
|
|
# Nakutumaini
|
|
|
|
"Nakutegemea" au "Nakusubiri kwa uvumilivu"
|
|
|
|
# Niongoze kwenye kweli yako na unifundishe
|
|
|
|
Niongoze na unifundishe zina maana sawa, kutoa maagizo. "Nielekeze kusimamia maisha yangu kwa kutii ukweli wako"
|
|
|
|
# Mungu wa wokovu wangu
|
|
|
|
Nomino dhahania ya "wokovu" inaweza kuelezwa kama "'huokoa." "yule anayeniokoa"
|