forked from WA-Catalog/sw_tn
555 B
555 B
Unijulishe njia zako, Yahwe; nifundishe njia zako
Kauli hizi mbili zina maana moja. Mungu kumfundisha mtu jinsi anavyotakiwa kutenda inazungumziwa kana kwamba alikuwa akimwonyesha mtu njia sahihi ambayo mtu anapaswa kusafiria.
Nakutumaini
"Nakutegemea" au "Nakusubiri kwa uvumilivu"
Niongoze kwenye kweli yako na unifundishe
Niongoze na unifundishe zina maana sawa, kutoa maagizo. "Nielekeze kusimamia maisha yangu kwa kutii ukweli wako"
Mungu wa wokovu wangu
Nomino dhahania ya "wokovu" inaweza kuelezwa kama "'huokoa." "yule anayeniokoa"