sw_tn/psa/025/004.md

555 B

Unijulishe njia zako, Yahwe; nifundishe njia zako

Kauli hizi mbili zina maana moja. Mungu kumfundisha mtu jinsi anavyotakiwa kutenda inazungumziwa kana kwamba alikuwa akimwonyesha mtu njia sahihi ambayo mtu anapaswa kusafiria.

Nakutumaini

"Nakutegemea" au "Nakusubiri kwa uvumilivu"

Niongoze kwenye kweli yako na unifundishe

Niongoze na unifundishe zina maana sawa, kutoa maagizo. "Nielekeze kusimamia maisha yangu kwa kutii ukweli wako"

Mungu wa wokovu wangu

Nomino dhahania ya "wokovu" inaweza kuelezwa kama "'huokoa." "yule anayeniokoa"