sw_tn/psa/022/026.md

1.0 KiB

Walidhulumiwa watakula na kuridhika

Hii inamaanisha mlo wa ushirika unaotokea baada ya mwandishi kumpa Mungu sadaka alizoahidi. Atawakaribisha wale waliokuwa wanateseka kula sehemu ya mnyama aliyemtoa sadaka.

wale wanaomtafuta Yahwe

Wale wanaotaka kumjua Yahwe na kumpendeza wanazungumziwa kana kwamba wanamtafuta Yahwe kwa uhalisia.

Mioyo yenu iishi milele

Hapa "mioyo" inawakilisha mtu mzima. "Na uishi milele"

Mioyo yenu

Hapa "yenu" inamaanisha watu walio dhulumiwa.

watakumbuka na kumgeukia Yahwe

Kuanza kumtii Yahwe kunazungumziwa kana kwamba watu wanamgeukia Yahwe kimwili. "watamkumbuka Yahwe na kumtii"

familia zote za mataifa zitasujudu chini mbele yako

Hii inamaanisha kitu kimoja na sehemu ya kwanza ya sentensi. Mwandishi anasisitiza kuwa kila mtu kutoka kila sehemu atamwabudu na kumtii Yahwe.

zitasujudu chini mbele yako

Hii ni alama ya kumpa utkufu na heshima mtu.

mbele yako

Hapa "yako" inamaanisha Yahwe. Inaweza kutafsiriwa katika hali ya mtu wa tatu ili ilingane na sehemu ya kwanza ya sentensi. "mbele yake"