forked from WA-Catalog/sw_tn
1.0 KiB
1.0 KiB
hajadharau wala kuchukizwa
Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "amependa na kuona bora kabisa"
hajadharau wala kuchukizwa na mateso ya aliyeteswa
Hapa "mateso" inamaanisha mtu anayeteseka. "hajamdharau wala kumchukia yule anayeteseka"
hajadharau wala kuchukizwa
Maneno haya mawili yana maana ya kufanana na yanasisitiza kuwa Mungu hajamsahau mwandishi.
hajadharau
"chukia sana"
kuchukizwa
"kukemea"
mateso ya aliyeteswa ...kwake ... aliyeteswa alipolia
Hii inaweza kuelezwa ili imaanishe yeyote anayeteseka. "wale wanaoteseka ... kwao ... wale wanaoteseka walilia"
hajaficha uso wake
Hii ni lahaja. "hajageuza usikivu wake" au "hajaacha kunizingatia"
alisikia
"alisikiliza." Inadokezwa kuwa alijibu aliposikia kilio chao. "alijibu" au "alisaidia"
kwa sababu yako
Anayezungumziwa hapa ni Yahwe.
nitatimiza viapo vyangu
Hii inamaanisha sadaka ambazo mwandishi aliahidi kumtolea Mungu.
mbele yao
Ambaye wanamcha ni Yahwe. Inaweza kuelezwa kama "wewe." "mbele yao wanaokugopa wewe"