sw_tn/psa/022/024.md

1.0 KiB

hajadharau wala kuchukizwa

Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "amependa na kuona bora kabisa"

hajadharau wala kuchukizwa na mateso ya aliyeteswa

Hapa "mateso" inamaanisha mtu anayeteseka. "hajamdharau wala kumchukia yule anayeteseka"

hajadharau wala kuchukizwa

Maneno haya mawili yana maana ya kufanana na yanasisitiza kuwa Mungu hajamsahau mwandishi.

hajadharau

"chukia sana"

kuchukizwa

"kukemea"

mateso ya aliyeteswa ...kwake ... aliyeteswa alipolia

Hii inaweza kuelezwa ili imaanishe yeyote anayeteseka. "wale wanaoteseka ... kwao ... wale wanaoteseka walilia"

hajaficha uso wake

Hii ni lahaja. "hajageuza usikivu wake" au "hajaacha kunizingatia"

alisikia

"alisikiliza." Inadokezwa kuwa alijibu aliposikia kilio chao. "alijibu" au "alisaidia"

kwa sababu yako

Anayezungumziwa hapa ni Yahwe.

nitatimiza viapo vyangu

Hii inamaanisha sadaka ambazo mwandishi aliahidi kumtolea Mungu.

mbele yao

Ambaye wanamcha ni Yahwe. Inaweza kuelezwa kama "wewe." "mbele yao wanaokugopa wewe"