forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.0 KiB
Markdown
44 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# hajadharau wala kuchukizwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "amependa na kuona bora kabisa"
|
||
|
|
||
|
# hajadharau wala kuchukizwa na mateso ya aliyeteswa
|
||
|
|
||
|
Hapa "mateso" inamaanisha mtu anayeteseka. "hajamdharau wala kumchukia yule anayeteseka"
|
||
|
|
||
|
# hajadharau wala kuchukizwa
|
||
|
|
||
|
Maneno haya mawili yana maana ya kufanana na yanasisitiza kuwa Mungu hajamsahau mwandishi.
|
||
|
|
||
|
# hajadharau
|
||
|
|
||
|
"chukia sana"
|
||
|
|
||
|
# kuchukizwa
|
||
|
|
||
|
"kukemea"
|
||
|
|
||
|
# mateso ya aliyeteswa ...kwake ... aliyeteswa alipolia
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa ili imaanishe yeyote anayeteseka. "wale wanaoteseka ... kwao ... wale wanaoteseka walilia"
|
||
|
|
||
|
# hajaficha uso wake
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. "hajageuza usikivu wake" au "hajaacha kunizingatia"
|
||
|
|
||
|
# alisikia
|
||
|
|
||
|
"alisikiliza." Inadokezwa kuwa alijibu aliposikia kilio chao. "alijibu" au "alisaidia"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu yako
|
||
|
|
||
|
Anayezungumziwa hapa ni Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# nitatimiza viapo vyangu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha sadaka ambazo mwandishi aliahidi kumtolea Mungu.
|
||
|
|
||
|
# mbele yao
|
||
|
|
||
|
Ambaye wanamcha ni Yahwe. Inaweza kuelezwa kama "wewe." "mbele yao wanaokugopa wewe"
|