forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
607 B
Markdown
24 lines
607 B
Markdown
# Nimewaponda
|
|
|
|
"Nimewavunja vipande vipande"
|
|
|
|
# hawakuweza kuinuka
|
|
|
|
"hawakuweza kusimama"
|
|
|
|
# wameanguka chini ya miguu yangu
|
|
|
|
Lahaja hii inamaansiha kuwa mwandishi wa zaburi amewashinda adui zake. "nimewashinda wote"
|
|
|
|
# umeweka nguvu juu yangu kama mshipi
|
|
|
|
Mwandishi wa zaburi anasema kuwa Yahwe amempa nguvu inayomzunguka na kumstahimili kama mshipi.
|
|
|
|
# umewaweka chini yangu
|
|
|
|
Hapa mwandishi wa zaburi anazungumzia kushindwa kwa adui zake kama kusimama juu yao. "unawashinda kwa ajili yangu"
|
|
|
|
# wale wanaojiinua dhidi yangu
|
|
|
|
Hii inamaansiha wale wanaompinga mwandishi wa zaburi. "wale ambao ni adui zangu"
|