sw_tn/psa/018/037.md

607 B

Nimewaponda

"Nimewavunja vipande vipande"

hawakuweza kuinuka

"hawakuweza kusimama"

wameanguka chini ya miguu yangu

Lahaja hii inamaansiha kuwa mwandishi wa zaburi amewashinda adui zake. "nimewashinda wote"

umeweka nguvu juu yangu kama mshipi

Mwandishi wa zaburi anasema kuwa Yahwe amempa nguvu inayomzunguka na kumstahimili kama mshipi.

umewaweka chini yangu

Hapa mwandishi wa zaburi anazungumzia kushindwa kwa adui zake kama kusimama juu yao. "unawashinda kwa ajili yangu"

wale wanaojiinua dhidi yangu

Hii inamaansiha wale wanaompinga mwandishi wa zaburi. "wale ambao ni adui zangu"