sw_tn/psa/018/022.md

675 B

Kwa amri zake zote za haki ... sijazigeuka

Vishazi hivi viwili vina maana ya kufanana. Mwandishi anarudia mawazo haya kwa ajili ya mkazo.

zimekuwa mbele yangu

"zimeniongoza" au "nimezikumbuka"

Pia nimekuwa bila hatia ... nimejitenga na dhambi

Vishazi hivi viwili vina maana ya kufanana. Mwandishi anarudia mawazo haya kwa ajili ya mkazo.

bila hatia mbele yake

"bila hatia kulingana na yeye"

nimejitenga na dhambi

"sijatenda dhambi"

mikono yangu ilikuwa misafi

Kuwa na "mikono misafi" inamaanisha kuwa mtu hana hatia na kosa. "matendo yangu yote yalikuwa sawa"

mbele ya macho yake

Hii inamaanisha uwepo wa Mungu. "mbele yake" au "kulingana na yeye"