sw_tn/psa/017/008.md

495 B

Nilinde kama mboni la jicho lako

"mboni la jicho lako" inaashiria kitu kilicho na thamani. "Nilinde kama utakavyolinda kitu cha thamani sana"

nifiche chini ya kivuli cha mbawa zako

Daudi anazungumzia ulinzi wa Mungu kana kwamba alikuwa ni ndege anayelinda watoto wake chini ya mbawa zake. "Niweke salama kama ndege anavyolinda makinda yake chini ya mbawa zake"

midomo yao inazungumza kwa majivuno

Hapa "midomo yao inazungumza" inamaanisha kile ambacho watu wanasema. "huwa wanajidai"