forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
594 B
Markdown
20 lines
594 B
Markdown
# Wanatemeka
|
|
|
|
Wanaotetemeke ni wale wanaotenda maovu.
|
|
|
|
# Mungu yuko pamoja na mkusanyiko wa wenye haki
|
|
|
|
Kusema kuwa "Mungu yuko pamoja" na mkusanyiko wa wenye haki inamaanisha kuwa atawasaidia. HIi inaweza kuwekwa wazi. "Mungu huwasaidia wale wanaotenda haki" au "Mungu anawasaidia wale wanaotenda yaliyo sawa"
|
|
|
|
# Mnataka
|
|
|
|
Wanaotaka ni watu waovu.
|
|
|
|
# kumwaibishi mtu maskini
|
|
|
|
"kumfanya mtu aliye maskini kuona aibu"
|
|
|
|
# Yahwe ni kimbilio lake
|
|
|
|
Hii inazungumzia ulinzi ambao Yahwe anatoa kana kwamba ulikuwa kivuli ambacho mtu atatufuta wakati wa dhoruba. "Yahwe ni kama kivuli cha ulinzi kwake"
|