sw_tn/psa/014/005.md

594 B

Wanatemeka

Wanaotetemeke ni wale wanaotenda maovu.

Mungu yuko pamoja na mkusanyiko wa wenye haki

Kusema kuwa "Mungu yuko pamoja" na mkusanyiko wa wenye haki inamaanisha kuwa atawasaidia. HIi inaweza kuwekwa wazi. "Mungu huwasaidia wale wanaotenda haki" au "Mungu anawasaidia wale wanaotenda yaliyo sawa"

Mnataka

Wanaotaka ni watu waovu.

kumwaibishi mtu maskini

"kumfanya mtu aliye maskini kuona aibu"

Yahwe ni kimbilio lake

Hii inazungumzia ulinzi ambao Yahwe anatoa kana kwamba ulikuwa kivuli ambacho mtu atatufuta wakati wa dhoruba. "Yahwe ni kama kivuli cha ulinzi kwake"