forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
295 B
Markdown
8 lines
295 B
Markdown
# Nimetumaini katika uaminifu wako wa agano
|
|
|
|
Kwa kuzungumzia uaminifu wa Yahwe wa agano, Daudi anatumaini kuwa Yahwe atampenda daima. "Nina imani kuwa utanipenda kwa uaminifu"
|
|
|
|
# moyo wangu unafuahi ndani ya wokovu wako
|
|
|
|
Hapa "moyo wangu" unaashiria mtu mzima. "Nitafurahi kwa sababu umeniokoa"
|